Jumatatu 22.06.09 : Dar-es-Salaam - Tanga
Leo tunaacha Dar-es-Salaam na basi kwenda Tanga.
Ni basi la anasa kwa watu thelathini ; inawezekana kula biscuti na kunywa juisi ya embe na maji.
Tunakutana na msichana mmarekani, biologist-paleontologist ; anafanya kazi kwenye mkoa wa Tanga na anatupendekeza
kwenda kutembelea milima Usambara.
Labda tutakwenda pale.
Safari inadumu masaa sita kwa kilomita 350 na shillingi 12000 kwa mtu moja (yuro saba).
Tunafika Tanga ; ni mji mzee na unaopendeza.
Kutoka chumba cha hoteli, tunaona bahari. |
Tunatembelea mjini, tunakula kidogo na tukanunua vitu. |
yaliyomo