Jumanne 30.06.09 : Unguja - Kizimkazi - Ungunja
Noemie anavumbua safari ya kutamanisha kwa leo kwani ndege ya kwenda Arusha itaruka kesho tu.
Tutakwenda baharini kuona pomboo na tutaogelea nao.
![]() |
Tunafika Kizimkazi na waingereza wawili lakini bahari ni chafu sana. |
Viongozi wetu wanatushauri tusimame mwituni ; mbega wanaishi pale tu na ni wema sana. |
![]() |
Tunarudi Unguja, kutembea, kunywa na kula pahali pa jana, katika mtaa.
Pahali hapa patabaki kumbusho bora la Unguja.
Usiku, hotelini, hakuna umeme tena na tunakaa na mshumaa.
yaliyomo
![]() |
![]() |