Jumanne 30.06.09 : Unguja - Kizimkazi - Ungunja
Noemie anavumbua safari ya kutamanisha kwa leo kwani ndege ya kwenda Arusha itaruka kesho tu.
Tutakwenda baharini kuona pomboo na tutaogelea nao.
Tunafika Kizimkazi na waingereza wawili lakini bahari ni chafu sana. |
Viongozi wetu wanatushauri tusimame mwituni ; mbega wanaishi pale tu na ni wema sana. |
Tunarudi Unguja, kutembea, kunywa na kula pahali pa jana, katika mtaa.
Pahali hapa patabaki kumbusho bora la Unguja.
Usiku, hotelini, hakuna umeme tena na tunakaa na mshumaa.
yaliyomo